Kwani nani hajatuliaHahahaaa muwage Mnatulia jamani

Wacha bwana!! Pole yenu kwa kweli.
Hongera kwa pumziko jema kamanda.Kulitokea kutokuelewana kidogo nikawakoromea basi kwa vile wao wameshikilia mpini na mimi makali wakaamua tu kunitenga na jukwaa lao kwa siku saba. Lilikuwa pumziko jema tu lakini.
Hawafai hata kidogo!






Wasu.,maJamani nisaidieni hawa majirani zangu ni kabila gani ?
View attachment 1973394

Dada yangu mmoja huyu kabisa hakubali hawezi



