Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Tunakoelekea sijui hata itakuwaje yaani. Kizazi hiki kina changamoto sana kwa kweli. Ukigeuka huku vibamia. Ukigeuka kule mabwawa kha!
IMG-20211013-WA0019.jpg
 
Kulitokea kutokuelewana kidogo nikawakoromea basi kwa vile wao wameshikilia mpini na mimi makali wakaamua tu kunitenga na jukwaa lao kwa siku saba. Lilikuwa pumziko jema tu lakini.

Hawafai hata kidogo!
Hongera kwa pumziko jema kamanda.
Uraibu wa hapa nao ni mgumu aisee, kuna wakati unaona heri upumzishwe kidogo,
Ingawa ukiwa mapumzikoni unajikuta kuwamiss vijukuu vyako
 
Back
Top Bottom