Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,384



Kwa hapo ni condom tu,na mguuni naona ulevi wangu!!!Unadhani shem anataka nini hapa?View attachment 1972774









Tunakoelekea sijui hata itakuwaje yaani. Kizazi hiki kina changamoto sana kwa kweli. Ukigeuka huku vibamia. Ukigeuka kule mabwawa kha!



na ni mabwawa kote.Dogo hebu twende taratibu, kwani kimekupata nini?


na dogo!!!?Ndugu yangu.. Ni nini unawakosea hawa Waheshimiwa wenye Jukwaa lao?Watuwacheee !!!
We si uliniambia ninunue lawalawa nile, kumbe hatuchekaniNimecheka..




Muache kitinda mimba wetuNdugu yangu.. Ni nini unawakosea hawa Waheshimiwa wenye Jukwaa lao?


Kulitokea kutokuelewana kidogo nikawakoromea basi kwa vile wao wameshikilia mpini na mimi makali wakaamua tu kunitenga na jukwaa lao kwa siku saba. Lilikuwa pumziko jema tu lakini.Ndugu yangu.. Ni nini unawakosea hawa Waheshimiwa wenye Jukwaa lao?
Pole ya nini?Tumpe pole.
We si uliniambia ninunue lawalawa nile, kumbe hatuchekani![]()




Malast born tuwe na chama chetu kwa kweli...ila sasa viongozi wanaweza kuzira anytime mpaka wabembelezweMuache kitinda mimba wetu![]()

Sijui kwanini ulivyoandika wewe hiyo lawalawa nimecheka namna hii?
Ndiyo lawalawa inatosha.





Ndiyo.. Wakati mwingine wanakupa kupumzika na mambo ya huku pia...Kulitokea kutokuelewana kidogo nikawakoromea basi kwa vile wao wameshikilia mpini na mimi makali wakaamua tu kunitenga na jukwaa lao kwa siku saba. Lilikuwa pumziko jema tu lakini.
Hawafai hata kidogo!