Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,898
- 136,559
Ya kwangu ilikua imezungushiwa kijibat cha shaba nilikua hata nikiiogea fulesh
Elimu yetu ya kukalilishana.....kacha izi a laifu staili ofu patikyula pipo....walimu acheni kukompliketi maisha
Hapo huku unaimba *sitaki shule eee*huku unaenda
🤣🤣🤣Ya kwangu ilikua imezungushiwa kijibat cha shaba nilikua hata nikiiogea fulesh
Huyu ni mm kabisa, darasa la 3 ndiyo nilianza kupenda shule....kuanzia la kwanza ilikuwa ni fimbo tu....na mazingira ilikuwa baridi sana asubuhiHapo huku unaimba *sitaki shule eee*huku unaenda
Kwa waafrika Tu...na kwa account inactive
wanawake wa hivi kwa nini hatuwapigii kura wawe marais
Aulizwe mzee furani, yumo humo






Mzee njoo uone wanavyosema



Hujawahi kuona kanzu ya milioni 1 mkuu?Kofia ilikua laki unusu tukatoa ofa kwa lak kanzu ya lak saba tuliachana nayo lkn vyote tulikosa

