Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_9z76u4.jpg
 
Tahadhari,

Kumetokea sontofahamu moja hv nyumbani kwangu leo ambapo gari la mtoto lilipita mapema mno na wakaomba mtoto wa chekechea, wakisema gari yake ambayo inapitaga saa tatu imejaa, tukastuka kidogo na kusema hapana, wale jamaa kuona hilo hata hawakuongea wakaondoka, tunapiga simu shule tunaambiwa hakuna kitu kama hicho. Chukua tahadhari kama mzazi.. ...wameanza tena.Mkoa wa Dar es Salaam. Ikumbukwe pia kuwa school buses zipo nchi nzima na watoto wetu wote wapo vulnerable. Tusambaze ili wazazi tusiwe tunachukua majibu mepesi

Please send this to many Groups as much as possible
Pole sana bro. Mungu atuepushe

Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
 
Huyu jamaa amesimuliwa kwenye masimulizi ya mtunzi wa kale Sir Henry Rider Haggard.(Mambo ya ajabu yaliyowapata Allan Quatermain na wenzake).
Anaitwa Umslopogas.
Huyu mwamba ameelezewa kama mfalme jasiri na mwenye nguvu wa Wazulu, aliyepoteza himaya yake kwa sababu za kimapenzi.
Kwa sababu hiyo akatorokea Afrika mashariki kukwepa kifo.
Akaja kukutana na msafara wa rafiki yake wa zamani, mwingereza mwindaji aitwaye Allan Quatermain.
Kwakuwa aliogopa kurudi kwao, aliungana na msafara huo kama kiongozi wa wapagazi (Wabeba mizigo).
Kwenye msafara huo amefanya mambo mengi ya kijasiri.
Asante kwa kutupa simulizi hii kwa ufupi maana sijawahi kusoma hicho kitabu,ila huyu jamaa huwa namsikia tu
 
Back
Top Bottom