ashery pone
Member
- Jul 22, 2021
- 39
- 217
Kama funzaVitamu sana

Mwamba kapigwa hasa. Bila wapinzani CCM wanatwangana wenyewe kwa wenyewe. Hata bungeni ni mpapurano tu. Nyerere alishaonya: ukila nyama ya mtu utaendelea tu kuila....Hooovyo!!!
Kamba!Wanasemaga wanafuatiliaga maombi kwenye TV,wakipona wanafunga na safari hadi dar kwenda kutoa ushuhuda![]()
Ee,kuna maombi Kila SAA 3,usikuKamba!
Kwa hiyo wanasafiri na magongo yao ya ulemavu na wanakuja kuyatupa hapo mbele ya mtenda miujiza?
...Kama ukiwa unafuatilia anavyoomba,unachukua maji maombi yanapenya

Mmmmmmmh

Yaani,kumbikumbi sili kabisa,nilikulaga nikatapika basi nawachukiaMtoto wa kishua hujawahi kula kumbikumbi? Senene je? Panya? Mbwa? Panzi?
...hao wadudu wengine mmmh sijawahi kuwala,