Kwani hiyo pesa inayoliwa inatoka kwa nani si maamuzi ya mzazi kula pesa yake
Kuna haja ya Ku review hizo research zao upya, kwa takwimu zao Ina maana Tanzania Ina vichaa 15,000,000 kwa ratio yao ya 4:1 huo ni uwongo 🤔
Boss mwenye Lodge kachoka ku-repair vitandaa vya mbaoKama kitanda cha zege
Huyu jamaa amesimuliwa kwenye masimulizi ya mtunzi wa kale Sir Henry Rider Haggard.(Mambo ya ajabu yaliyowapata Allan Quatermain na wenzake).Hebu tukumbushe huyu jamaa alikuwa nani na ana maajabu gani?
Wasomi wa sasa wanaogopa maisha kuliko hata ngumbaru walioishia darasa la saba.