Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Mweeh
maana naona siku hz wameibuka viranja wa kusema hakuna kurudia rudia vilivyopostiwa.
Sawa bosi
Hukuona huo mjadala aiseeYaani ukifika huku; uangalie kwanza memes zote zilizopostiwa ili usirudie kuzipost. Mbona hekaheka




DuhWaacheni wajane jamaniView attachment 1966847

Mhola sana bhagheshiBageshi
Ūlīmhola nkoyi?
Niko nyarugusu siku nyingiUmepotea. Waha wanakuficha sana au mmeshahamia Nyarugusu tayari?
Fikisha salama kwa shemeji na wapwa zangu. Nyote mbarikiwe![]()