Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Tatizo hao wanaotoa ushuhuda wa kuponywa wote huwa ni wageni; na baada ya hapo hutawaona tena. Viwete unaowafahamu hapo hapo mtaani kamwe huwa hawaponywi. Ni viwete wageni waliokaa sehemu mbalimbali strategically kwenye mkutano...ila na miujiza ya kweli ipo na siyo hizi drama za kufufua wafu za akina Bishop RashidiNapendaga kuangalia tu,vile raia wanavyotoa ushuhuda,
Nafrahi kuona watu wakiponywa na kutoa ushuhuda
mUNGU ni mwema wakati wote![]()






....kazi yake nini??
