Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Napendaga kuangalia tu,vile raia wanavyotoa ushuhuda,

Nafrahi kuona watu wakiponywa na kutoa ushuhuda

mUNGU ni mwema wakati wote
Tatizo hao wanaotoa ushuhuda wa kuponywa wote huwa ni wageni; na baada ya hapo hutawaona tena. Viwete unaowafahamu hapo hapo mtaani kamwe huwa hawaponywi. Ni viwete wageni waliokaa sehemu mbalimbali strategically kwenye mkutano...ila na miujiza ya kweli ipo na siyo hizi drama za kufufua wafu za akina Bishop Rashidi
 
FB_IMG_1633533190713.jpg
 
Kimekaa kama maiki....kazi yake nini??View attachment 1966001
Hitachi hiyo hatari. Kuna mmoja alijitekenya nayo akafikia mshindo mzito akapasua mishipa ya damu kwenye ubongo mwaka na kitu yupo kwenye coma. Ni kakifaa kazuri pia kama unataka kuhakikisha kama demu wako anaweza kurusha maji (squirt) ama la!

Na ni kweli. Mkeo au mpenzi wako akiwa nako basi jua kuwa kazi yako imekuwa ngumu sana. Ni afadhali umfume ana gunia la matango kuliko hii Hitachi
 
Hitachi hiyo hatari. Kuna mmoja aliyejitekenya nayo akafikia mshindo mzito akapasua mishipa ya damu kwenye ubongo mwaka na kitu yupo kwenye coma. Ni kakifaa kazuri pia kama unataka kuhakikisha kama demu wako anaweza kurusha maji (squirt) ama la!

Na ni kweli. Mkeo au mpenzi wako akiwa nako basi jua kuwa kazi yako imekuwa ngumu sana. Ni afadhali umfume ana gunia la matango kuliko hii Hitachi
Kumbe
 
Tatizo hao wanaotoa ushuhuda wa kuponywa wote huwa ni wageni; na baada ya hapo hutawaona tena. Viwete unaowafahamu hapo hapo mtaani kamwe huwa hawaponywi. Ni viwete wageni waliokaa sehemu mbalimbali strategically kwenye mkutano...ila na miujiza ya kweli ipo na siyo hizi drama za kufufua wafu za akina Bishop Rashidi
Wanasemaga wanafuatiliaga maombi kwenye TV,wakipona wanafunga na safari hadi dar kwenda kutoa ushuhuda
 
Back
Top Bottom