Nilichanja Moderna tangu mwezi Mei kamanda. Hakukuwa na jinsi hasa kama mtu unasafiri safiri...
Uko wapi?
Ukizaa akikua,watakuambia mlete mdogoake wa kucheza nae,na ukizaa zaidi ya wawili wanakusimanga unazaa zaa kila sikuUkishaolewa swali litageuka...
Utapata mtoto lini? Ali mradi tu wananzengo wakukere![]()

Omba maziwa kama yapo uyatulize mdomoni...na uache kiherehere ukiwa ugenini![]()



yaani hile supu ilikuwa tamu
,nikawa natapatapa,wakaniuliza vipi pilipili kali
...mie nikasema ee naomba maji
,.......wakaniongezea mchuzi
Kwa mama hapa,nasubiria kuku itage,niibe yai nikaange...Uko wapi?

Hii meme ilipaswa iandikwe, ' vile wanaume hatuna pesa tujionavyo ukikutana na pisi kali'
Si umalizie sindano ya pili huko uliko mkuu?
Ila uyo jamaa muuaji itakuwaAkiwa na wife wake ambaye ndiye mwanamke mfupi zaidi duniani
View attachment 1960423
