Taavid
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 8,336
- 71,163
Sio mbaya, kwahyo leo upo upande upi?!Bora Azan kumetulia[emoji7],huko makelele
Sio mbaya, kwahyo leo upo upande upi?!Bora Azan kumetulia[emoji7],huko makelele
Leo nipo kwa simba[emoji41],Sio mbaya, kwahyo leo upo upande upi?!
[emoji4][emoji4]wacha weee. Leo nitafanya tena muamala!Leo nipo kwa simba[emoji41],
Kweli,usisahau[emoji41],ninywe mirinda nyeusi na viepe[emoji16][emoji4][emoji4]wacha weee. Leo nitafanya tena muamala!
Sasa nawe[emoji849],yaani saa nane Usiku anatokaje kwao??Lakini mtakuja pata laana mjue, kuna mmoja kanisubirisha usiku wote mpaka saa nane kila nikimtumia ujumbe anajibu atakuja wala nisipate tabu, nilikesha na asubuh nikatamani nimlaani na ukoo wake wote, unasababisha mwanaume anadindisha usiku wote.....ha ha ha!
Mahusiano yanaanzia mbali,Sasa Mwanamke asiye wako anakuhusu nini