Ukiona mtu anakuomba picha kamili ameanza kukuhusu, baada ya muda nawe utamuhusu.Duuh sasa uviangalie we Vinakuhusu nini


Wanataka wakuthaminishe vizuriKwa kweli watu wanaong'ang'aniaga Picha full huwa siwaelewagi kabisa yani
Basi kabla ya kuomba yangu tuma ya kwako kwanzaUkiona mtu anakuomba picha kamili ameanza kukuhusu, baada ya muda nawe utamuhusu.
Ni juu yako kutimiza matakwa yake ya awali ili muhusiane![]()

Kazi inaanzia hapo..
Tunasubiri kwa hamu mkataba wa Zanzibar one au Azam sea ferryBado majini
Mbona inawezekana tu.Basi kabla ya kuomba yangu tuma ya kwako kwanza![]()


Nawewe ukiwa miongoni mwa wanaomaanisha hovyoMafuta nayaelewa haya,,vile tu raia wanamaanisha hovyo,View attachment 1951487

TakrimaInaitwaje??View attachment 1951076
Mbona inawezekana tu.
Ila mara nyingi wadada hawanaga shida na picha zetu, wana shida na nauli, na itumwe na yakutolea![]()

