Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Hahaha unakuta jina la ajabu kidogo; si unajua tena majina ya wazee wetu. Kuna msichana surname yake ilikuwa ni Kisebengo; tulishangaa tu siku tunapangwa kwenye mtihani ndiyo anaitwa binti Kisebengo; tulishamzoea kwa jina lingine la kawaida, alikuwa analificha hilo
Hv kwa nn watu wengi hawapendi kutumia/kufahamika kwa jina lake la ukoo mfano mtu anaitwa Alphonce Mshana Jr lakn anapenda umwite Alphonce na sio mshana. Hv n kwa nn?






