Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1613551700596.jpg
 
Pemba wapo kibao na Tanga,tatizo hawataki kuolewa na mkristo tu. Hapo ndo wananikata maini. Nilimpata mmoja nikamdanganya jina,nilikua naenjoy mno,siku aligundua ndiyo siku ya mwisho kumsikia na kumuona.

Yaani alikua fiti kila idara aisee. Kasoro yake kubwa ilikua kudeka tu,ujue ile mideko mpaka inakera,ndo ilikua shida yake tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapemba siwajui vzuri ila hawa watanga wana tabia za ajabu ajabu sana
 
Wapemba siwajui vzuri ila hawa watanga wana tabia za ajabu ajabu sana
Utakua ulikutana na watanga koko mzee,yaani Tanga na Pemba raha sana.
Tanga unaeza jikuta hukumbuki home aisee. They know much jinsi ya kumfanya mwanaume afurahi. Na hakupi tamu yake kama hujashiba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom