Ulizidiwa
Mbwembwe zote zile
.....usirudie tena utajikuta upo Bugando shauri yako.Hahaha.....Hapana sikuzidiwa bhanaUlizidiwaMbwembwe zote zile
Mie nilijua tu Matokeo lazima yawe mabovu... ungeweka simu kwenye kabati bana.....usirudie tena utajikuta upo Bugando shauri yako.

Kwema kabisa,vipi wewe???Hahaha.....Hapana sikuzidiwa bhana
Ule mchezo hauhitaji haraka mkuu
Mimi mbili
Yeye saba
Uwanja ulikuwa mzuri na mazingira yake yalikuwa rafiki mpaka yeye kufika saba
Kikawada au kitaalamu zaidi yeye ndo anatakiwa afunge magoli mengi
Kwema lakini mamy
Vizuri sana kama ni kwema kabisaKwema kabisa,vipi wewe???
Namimi ndio nasubiri unitumie lakini naona kimyaSijasahau ujue,nakuchora tu kwa mkono wa kushoto![]()


OK,nakutumia nambaNamimi ndio nasubiri unitumie lakini naona kimya![]()
Bado tuOK,nakutumia namba

Ni kama unajitekenya then unashanga unacheka wewe mwenyewe


Kilimo ni kamari