Marahabaa, kwema huko.Abee ankaliii,shikamoo
Huku kwema kabisaMarahabaa, kwema huko.
Vipi mafua makali


Jiweke mbali na vitu vinavyokuletea mzioHuku kwema kabisa
Mafua natumia dawa,namshukuru Allah yamepoa![]()
Nashukuru,najiweka mbali,huku kwetu vumbi sana yaani daahJiweke mbali na vitu vinavyokuletea mzio

Vaa barakoaNashukuru,najiweka mbali,huku kwetu vumbi sana yaani daah
Wacha tu nihamie dar kwa babu![]()
NavaagaVaa barakoa
Hahahaha.... mawardat bhanaNilisubiri,uniambie kama ulishinda ngapi![]()