Ndio, sasa nitakutumiajeNikupe no???
Basi definitely una mzio (allergy). Ukienda hospitali utapewa dawa.Babu shikamoo
Vumbi,harufu ya mafuta makali,baridi la asubuhi likinipiga tu shida,
Mazingira,hali ya hewa ya huku nilipo si rafiki kwangu,inanitesa
Ukimwi sina
Kila nikiamka napata mchanganyiko wa limao,tangawizi,mdalasini na karafuu nakunywa,
Nahitaji dawa
Jamani,mwenzenu mbona siponi mafua, kila baada ya wiki lazima nipatwe na mafua tena makali haswaa,
Mafua yananitesa Sana,shida nini??
Mwenye kujua dawa