Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Dawa hizi hapa tena ziko on sale. Chagua moja nikutumie. Hiyo Allegra mimi ndiyo hutumia. Running nose (mafua), watery eyes, sore throat, coughing inazima mara moja. Na unakunywa kakidonge kamoja tu for 24 hrs. Nitatupiamo na Allegra D kama Allegra ya kawaida itaelemewa.

Ukienda hospitali utapata pia dawa kwa sababu hizi pia zinauzwa kwenye maduka ya dawa.
View attachment 1940974
Ahsante babu
 
Tukumbushane
FB_IMG_1631799158412.jpg
 
Hii ikija kwetu itatufaa?!View attachment 1940949
Hii hata Tanzania inafaa,
Siyo kanisani tu, mpaka misikitini.
Wanasiasa ndiyo chanzo cha vurugu kwenye nyumba za ibada.

Kuna muda pia husema uongo kwenye madhabahu, rejea kisa cha mwanasiasa mmoja Tanzania aliyedai kiongozi furani ni mzima wa afya, kumbe haikuwa hivyo
 
Back
Top Bottom