Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Wengine wanaona hii ni ndoto
8e3c4367c837462582537660332b3432_2.jpg
 
Babu shikamoo

Vumbi,harufu ya mafuta makali,baridi la asubuhi likinipiga tu shida,

Mazingira,hali ya hewa ya huku nilipo si rafiki kwangu,inanitesa

Ukimwi sina

Kila nikiamka napata mchanganyiko wa limao,tangawizi,mdalasini na karafuu nakunywa,

Nahitaji dawa
Dawa hizi hapa tena ziko on sale. Chagua moja nikutumie. Hiyo Allegra mimi ndiyo hutumia. Running nose (mafua), watery eyes, sore throat, coughing inazima mara moja. Na unakunywa kakidonge kamoja tu for 24 hrs. Nitatupiamo na Allegra D kama Allegra ya kawaida itaelemewa.

Ukienda hospitali utapata pia dawa kwa sababu hizi pia zinauzwa kwenye maduka ya dawa.
20210916_144348.jpg
 
Back
Top Bottom