Nakutumia wapi sasa
Kapime mzio (allergy)...Jamani,mwenzenu mbona siponi mafua, kila baada ya wiki lazima nipatwe na mafua tena makali haswaa,
Mafua yananitesa Sana,shida nini??
Mwenye kujua dawa
HahahahaAcha ufala!
View attachment 1940683
Babu shikamooKapime mzio (allergy)...
Kapime UKIMWI na magonjwa mengine yanayoweza kudhoofisha kinga yako ya mwili. Fanya comprehensive physical exam.
Badili mfumo wa maisha yako. Vimazoezi vyepesi vinaweza kusaidia. Na kunywa maji ya uvuguvugu.
Tumia supplements za kuimarisha kinga ya mwili - vitamin C, Zinc...
Njoo unione kwa ushauri zaidi
Nikupe no???Nakutumia wapi sasa
HanaBabu shikamoo
Vumbi,harufu ya mafuta makali,baridi la asubuhi likinipiga tu shida,
Mazingira,hali ya hewa ya huku nilipo si rafiki kwangu,inanitesa
Ukimwi sina
Kila nikiamka napata mchanganyiko wa limao,tangawizi,mdalasini na karafuu nakunywa,
Nahitaji dawa
Ata wewe kama unaijua dawa nitajie,Hana
Dokta Mwaka ilala bungon labda anaweza saidiaAta wewe kama unaijua dawa nitajie,
Dokta Mwaka ilala bungon labda anaweza saidia