Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kwahiyo mimi nahusika kuleta nini my dear?
e4ec0e02f1ab4cd891f63a9f59b2777e.jpg
 
Wanabodi

Kijana mmoja alipost FB nina shida ya elf10 mtu yeyote aliye nayo ninamuomba anisaidie binti 1 akamfuata inbox wakachat bint akamtumia yule kijana hiyo elf 10 kumbe kijana alikuwa ni tajili alifanya hivyo ili kumtafuta mtu mwema yule kijana akamtafuta bint akamzawadia gari mpya na nyumba ya kisasa na milioni 50 na akamuajili kuwa msaidizi wake wa biashara ili kufupisha stori nina shida na elfu 10 mtu yeyote alie nayo ninamuomba anisaidie...
Tatizo tozo mnama
 
Labda kina vifaa ghali vya kiintelijensia humo ndani, choo kilichonakshiwa dhababu, kioo kisichovunjika, sounds system kali...

Jamaa wanapiga waziwazi kwa sababu wanajua kuwa hakuna kitu watafanywa. Ndo hawa hawa utawakuta mitandaoni wakihimiza vijana wajiajiri wasitegemee serikali (Kigwangalla style). Inakera!
 
Back
Top Bottom