Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Wanabodi

Kijana mmoja alipost FB nina shida ya elf10 mtu yeyote aliye nayo ninamuomba anisaidie binti 1 akamfuata inbox wakachat bint akamtumia yule kijana hiyo elf 10 kumbe kijana alikuwa ni tajili alifanya hivyo ili kumtafuta mtu mwema yule kijana akamtafuta bint akamzawadia gari mpya na nyumba ya kisasa na milioni 50 na akamuajili kuwa msaidizi wake wa biashara ili kufupisha stori nina shida na elfu 10 mtu yeyote alie nayo ninamuomba anisaidie...
 
Ninja assassin
IMG-20210908-WA0015.jpg
 
Wanabodi

Kijana mmoja alipost FB nina shida ya elf10 mtu yeyote aliye nayo ninamuomba anisaidie binti 1 akamfuata inbox wakachat bint akamtumia yule kijana hiyo elf 10 kumbe kijana alikuwa ni tajili alifanya hivyo ili kumtafuta mtu mwema yule kijana akamtafuta bint akamzawadia gari mpya na nyumba ya kisasa na milioni 50 na akamuajili kuwa msaidizi wake wa biashara ili kufupisha stori nina shida na elfu 10 mtu yeyote alie nayo ninamuomba anisaidie...
Aaaa, hahahaha
Hujanipata jomba
 
"Tukatae tukubali Wenzetu wa Simba SC Kibiashara wametuzidi na hili Wala halihitaji Mjadala hivyo ni Jukumu letu wana Yanga SC nasi Kujitangaza zaidi kwa Mambo na Maendeleo yetu kuliko kila mara Kuizungumzia Simba SC wakati Sisi bado tuna Safari ndefu ya Kufikia pale walipotutangulia"

"Yaani wana Yanga SC Wenzangu tunaacha kutumia Nguvu Kubwa kutangaza Jezi zetu ambazo bado hazijauzika kihivyo Sisi tuko busy Mitandaoni na Vijiweni Kukosoa Jezi za Simba SC ambayo hata Kimafanikio ya Kimpira kwa sasa wameshatuzidi. Huu ni Upuuzi mkubwa na yatupasa kubadilika"

"Nimesikitika sana kuona Leo hii Yanga SC tumemchukua aliyekuwa Msemaji wao Mkuu ambaye ni Mchumia Tumbo na Kumuamini na kuwa nae. Huyu ndiyo Mtu ambaye Kutwa alikuwa akitutukana vibaya wana Yanga SC mpaka Kutudhalilisha leo kwa Upumbavu Wetu na kwa Utashi fulani tumemkaribisha Kwetu"
Ridhiwani Kikwete MB
 
Back
Top Bottom