Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_20210907_235440_210.jpeg
 
Hiviii hatuwezi kabisa kuishi bila kutegemea ufadhili/misaada nchini?!
Tunawezaje kuvuka hapo na kusimamia vitu vyetu wenyewe,kufanya maamuzi yetu wenyewe nk?!
Akili yangu leo sijui imekula nini?
Any way,usiku mwema wadau,nawapenda sanaa.View attachment 1928466
Fikra zetu masikini. Bado tunajivuna eti tunakopesheka. Na utajiri wetu wote Mungu Aliotupa...

Ila mifumo hii ya kiuchumi aliyeisuka alikuwa jiniazi aisee. Na kiongozi wa Kiafrika akijitia kimbelembele kujaribu kukinzana na mifumo hii ya wakubwa hatachukua raundi anauliwa. There is no hope for Africa
 
Back
Top Bottom