Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 25,204
- 40,642
Muombeni tu vunjabei aige kwa Yanga awatengenezee madela, kuiga si vibaya kuliko dada zenu kuvaa hivyo
Muombeni tu vunjabei aige kwa Yanga awatengenezee madela, kuiga si vibaya kuliko dada zenu kuvaa hivyo
Hii itakuwa XXXXXXXXXXXXLKila mmoja atapata saizi yakeView attachment 1928551
Ushahidi huo hapo hawajatuhumiwaKlabu ya Simba ya Dar es salaam watuhumiwa kuiba kauli mbiu ya Sahare all stars ya Tanga
"One team one dream"View attachment 1928525
Nguzo aliyopanda ilikatika kwa chini, ilisimama kwa msaada wa waya.Wmewasha umeme wakati yupo juu bila kumwambia?
Ajali kazini, Mungu baba ampe pumziko la amaniNguzo aliyopanda ilikatika kwa chini, ilisimama kwa msaada wa waya.
Alipanda juu kubadirisha waya, alipoondoa waya nguzo ikaanguka naye, imemkandamiza na kumvunja baadhi ya viungo vya mwili.
Amefariki.

😆 😆 😆 😆 😆 😆
Toa konekisheni kamanda. Mizigo hii ndiyo mai eria ofu spesholaizesheniKila mmoja atapata saizi yakeView attachment 1928551


Yote maisha tu kamanda. We furahia tu kivyako vyako. Ukijinganisha na wengine utakwama!
Fikra zetu masikini. Bado tunajivuna eti tunakopesheka. Na utajiri wetu wote Mungu Aliotupa...Hiviii hatuwezi kabisa kuishi bila kutegemea ufadhili/misaada nchini?!
Tunawezaje kuvuka hapo na kusimamia vitu vyetu wenyewe,kufanya maamuzi yetu wenyewe nk?!
Akili yangu leo sijui imekula nini?
Any way,usiku mwema wadau,nawapenda sanaa.View attachment 1928466



Watu hata aibu hawana. Labda ni kwa vile wanajua hawatafanywa cho chote. Inaudhi sana!
Twende huko mwanaBaada jeshi kuchukua mamlaka ya kuongoza nchi ya Guinea Conakry, wanajeshi wa nchi hiyo kila wakionekana mitaani wanashangiliwa na warembo wanawamwagia mabusu.
View attachment 1928522
Mama kubwaKila mmoja atapata saizi yakeView attachment 1928551