Sio 2014 tu bali tokea 2010 ni mwana chama hapa jf, na jukwaa la siasa ndiko ninakoanzia lakini sijawahi ku experience ban, i wish some time lakini sababu unakosekanaMkuu unataka kuniambia tangu mwaka 2014 hujawahi kulimwa ban? Hamia jukwaa la siasa kwa siku mbili tu na ukashiriki kwenye mihemko ya huko halafu uje ulete mrejesho...
Mgangaako kibokoSio 2014 tu bali tokea 2010 ni mwana chama hapa jf, na jukwaa la siasa ndiko ninakoanzia lakini sijawahi ku experience ban, i wish some time lakini sababu unakosekana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatimaye na mimi nimebahatisha kasela kamoja hivi halafu kashikaji sana yaani. Kuna raha yake kuwa na mahusiano ya hivi. Yaani mnapiga stori mpaka za kipuuzi kabisa halafu ukifika wakati unakaita tu "Hebu leo uje nikupelekee moto" na kenyewe utakasikia "Napenda sana moto wako mshikaji. Nitakuja msela wangu"...Mpaka nimeanza kunenepa yaaniTena long time kitambooView attachment 1926767







Acheni watu wapige hela

Upendo wa watoto ni wa dhati na usio na mawaa.Me nimeshindwaga hebu tupe maujuzi mzeeUnajua kuwa unaweza kuondoa hii signature kirahisi tu?![]()
.
Wakimaliza kuonesha hayo mavazi.. watuletee hizo nguo huku Makete tupambane na mbu waenezao VVU😎
Sio kweliMpenzi wako akiwa na ma bestie wa kiume kaa roho mkononi. Kuchapiwa nje nje yaani!
View attachment 1926792
hivi hii ni kweli au edit maana inashangaza huyo kijana!Dunia ya wenyewe hii wallahi...
View attachment 1926609View attachment 1926612View attachment 1926613
Mungu atuepushe na huu UtopoloDunia ya wenyewe hii wallahi...
View attachment 1926609View attachment 1926612View attachment 1926613


