Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Pole mkuu. Ulikosea mbinu tangu mwanzo. Umekosa mdada mmoja matata sana halafu very decent yaani...

Pambana nao CCM hao mpaka wakukome. Malizia hasira zako zote huko!
Ccm ni wahuni tu mkuu, sitaki kuumiza kichwa changu na wahuni, ila siku zao zipo mwishoni. Kuhusu yule dada naona haikua risk yangu mkuu, hakuwahi kuonyesha interest despite msg kibao na Uzi juu ila waapi.usinikumbushe machungu aisee maana zile wiki za mwanzo nilipiga kilaji hatari mpaka nikaja kukaa sawa ilinichukua muda, kuna wakati nilijiapiza siingiu tena JF
 
Waafrika wa west wamezidi sasa! 😳😁
7598751_whale_jpeg587f8f68fb20f5816e59c95929889725.jpeg

9924873_whale5_jpg7b4b4ef6cd66034c0abb5c79795be780.jpeg

9924874_whale4_jpg55ce11040a4be21914dd5c43b1e843d3.jpeg

9924875_whale1_jpg2761858c8e7a79716d2e61dca7e2b44e.jpeg

9937976_whaleskeleton_jpeg1a5dd2bf1ce6caea58913a3606340706.jpeg
 
Back
Top Bottom