Malume
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 1,014
- 1,886
Hahaha mpaka ushike simu ya bi mkubwa kweli utakua umeshikwa pabaya, bi mkubwa wangu alivyo mnoko atafyonza siku nzimaKujiendekeza tu!
View attachment 1926605
Hahaha mpaka ushike simu ya bi mkubwa kweli utakua umeshikwa pabaya, bi mkubwa wangu alivyo mnoko atafyonza siku nzimaKujiendekeza tu!
View attachment 1926605
Pole mkuu. Ulikosea mbinu tangu mwanzo. Umekosa mdada mmoja matata sana halafu very decent yaani...ID haipatikani mkuu, nimeshajizoelea sasa, napambana na ccm tu huku jukwaani ndio kilichobaki
Ametolewa mpaka jashoUgonjwa ulikuwa kisingizio tu. Pole!
Ccm ni wahuni tu mkuu, sitaki kuumiza kichwa changu na wahuni, ila siku zao zipo mwishoni. Kuhusu yule dada naona haikua risk yangu mkuu, hakuwahi kuonyesha interest despite msg kibao na Uzi juu ila waapi.usinikumbushe machungu aisee maana zile wiki za mwanzo nilipiga kilaji hatari mpaka nikaja kukaa sawa ilinichukua muda, kuna wakati nilijiapiza siingiu tena JFPole mkuu. Ulikosea mbinu tangu mwanzo. Umekosa mdada mmoja matata sana halafu very decent yaani...
Pambana nao CCM hao mpaka wakukome. Malizia hasira zako zote huko!
Dogo ashachoka na yeye! 🤣 🤣 🤣kampatia sana
Atakua ashaficha za dada Valarie Kay... 😂 😂 😂 😂
Mnasemaga kuna wachawi sijui nn... Huyu dogo/dumejike ni horror movie yenyewe aka pepo chafu! 🤮🤧🤮🤧Dunia ya wenyewe hii wallahi...
View attachment 1926609View attachment 1926612View attachment 1926613
Umasikini!Waafrika wa west wamezidi sasa!
View attachment 1926640
View attachment 1926641
View attachment 1926654
View attachment 1926655
View attachment 1926715



Boss nisaidie mimi mshamba,hii mimba imeingiaje bila Jamaa kuwa na mfuko wa uzazi? Au ni photo shopDunia ya wenyewe hii wallahi...
View attachment 1926609View attachment 1926612View attachment 1926613