Tumia lugha sahihi bana,wale ni Wananchi sio watu wa kuzimu.Watu wa kuzimu hawakai kwenye jezi.
Imetoka iyoHii shoo imeshaanza?View attachment 1922426

few minutes ago nilimuoma online, nimezunguka zunguka kidogo nakuta hatunae tenaMods wamepita nae🙌🙌few minutes ago nilimuoma online, nimezunguka zunguka kidogo nakuta hatunae tena
Hatari naona Mshana ni still picha ya mashabiki wa Yanga mdogo wake Mama J
Hawa jamaa mbona wakikutana huwa wanacheka sana halafu si ni mahasimu wa kisiasa?au mmoja hao ndio mchekeshaji?