Haina lo lote mkuu. We nenda ukale raha zako peponi kwa raha zako tu...Connection nmeikosa hii ,pepo inanihusu wakuu



Achana na hizo.NishagasahauView attachment 1918423








Ilikuwa shilingi moja hiyo unakwenda nayo mjini sikukuu ya Sabasaba unapata maandazi na skonzi za kutosha; na jioni unarudi home na mzigo wa miwa...na chenji inabaki!Achana na hizo.
Mziki wenyewe huu hapa
Mtuwache wahenga, wahenga tulikula maisha na visenti hivi aiseee
Mzee SYB weka nenoView attachment 1919786
Unyanyapaa wa kizamani huo, tulishaachana nao.Kabila fulani hiviView attachment 1918429







Vita kuu ya Dunia itaanzia hapoHawafugiki haoView attachment 1918650