Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1630473545265.jpg
 
Ahadi ni deni.
Kocha wa Royal Antwerp Fc ya Ubelgiji Brian Priske, akienda kwenye mkutano na waandishi wa habari akiwa amejifunga taulo.
Kocha huyo aliweka nadhiri ya kuongea na waandishi akiwa nusu uchi mara timu yake ikifuzu kwenye Ligi ya Europa.
Ametimiza
FB_IMG_1630504249653.jpg
 
Achana na hizo.
Mziki wenyewe huu hapa
Mtuwache wahenga, wahenga tulikula maisha na visenti hivi aiseee


Mzee SYB weka nenoView attachment 1919786
Ilikuwa shilingi moja hiyo unakwenda nayo mjini sikukuu ya Sabasaba unapata maandazi na skonzi za kutosha; na jioni unarudi home na mzigo wa miwa...na chenji inabaki!
 
Back
Top Bottom