Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Kwani ni msambaa au mpare?Ngoja mshana aje![]()
Umeona sasa nimechanganya madesa; sema anawaongeleaga sana na nduguze wasambaaKwani ni msambaa au mpare?
Haha basi nae ni walewale wanaoita corona cooonaUmeona sasa nimechanganya madesa; sema anawaongeleaga sana na nduguze wasambaa
Hv hyo ni acc ya kweli ya dodoma jiji fc au???

HahahaIlikuwa shilingi moja hiyo unakwenda nayo mjini sikukuu ya Sabasaba unapata maandazi na skonzi za kutosha; na jioni unarudi home na mzigo wa miwa...na chenji inabaki!


Unamjua yeyote kati hao wana Utopolo?
Aiseeeeeeeee!!