Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

240587266_543337533677164_8221269013115392768_n.jpg
 
Mimi huku hasidi wa Gor Mahia, siwapendi maana wakishnda huwa hakukaliki kwa kejeli zao, kama wana SImba tu ambao walikua wanasababisha Dar hakukaliki kila wakishinda hehehehe!!!

Hivi huyo Manara mbona walmpokea Yanga na alivyokua hovyo kwa kejeli zake dhidi ya Yanga, bora angekwenda Azam au kwingine.
Kwahiyo mkuu umetuona sisi Azam ni sawa na Yanga utopolo? Yanga na Simba akili zao zinafanana sisi Azam tunawaza maendeleo zaidi.
 
Back
Top Bottom