Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

2.65000627872847E18.jpg
 
Yanga ina tatizo la kuanza vizuri halafu huko mbele inavurunda.

Gormahia iliishia wapi? Kuna kipindi niliipenda sana.

Mimi huku hasidi wa Gor Mahia, siwapendi maana wakishnda huwa hakukaliki kwa kejeli zao, kama wana SImba tu ambao walikua wanasababisha Dar hakukaliki kila wakishinda hehehehe!!!

Hivi huyo Manara mbona walmpokea Yanga na alivyokua hovyo kwa kejeli zake dhidi ya Yanga, bora angekwenda Azam au kwingine.
 
Eeh haswa likiwa jambo la kweli. Ila akinikanya kwa kunionea, dakika tu chozi lishafika mguuni. Akiwa karibu yatawahi kuisha; akiwa mbali ajiandae kwa magazeti
Vipi siku ukitandikwa kakofi? Patachimbika eeh!? You will be like "Baba hakuwahi kunizaba kibao we ni nani mpaka unitandika kofi. Mi narudi kwetu"
 
Mimi huku hasidi wa Gor Mahia, siwapendi maana wakishnda huwa hakukaliki kwa kejeli zao, kama wana SImba tu ambao walikua wanasababisha Dar hakukaliki kila wakishinda hehehehe!!!

Hivi huyo Manara mbona walmpokea Yanga na alivyokua hovyo kwa kejeli zake dhidi ya Yanga, bora angekwenda Azam au kwingine.
Mambo ya Manara bwana ni sawa tu na wanasiasa wetu hawa. Wanatoa maneno makali na kujiapiza halafu tena wanarudi wanafanya yale yale. Wanayanga sijui wanajisikiaje kwa sababu alipokuwa Simba aliwachachafya kwelikweli wanautopolo!
 
Vipi siku ukitandikwa kakofi? Patachimbika eeh!? You will be like "Baba hakuwahi kunizaba kibao we ni nani mpaka unitandika kofi. Mi narudi kwetu"
Sidhani kama itafikia huko kwenye makofi; watu wazima tunaongea kama watu wazima na kuelewana. No need ya matumizi ya nguvu, especially kwa mtu ambaye ni mnyonge/dhaifu kwako. Siku itokee, basi ntajitahidi kutumia njia ambayo itamfanya asirudie tena kunyanyua mkono wake.
 
Sidhani kama itafikia huko kwenye makofi; watu wazima tunaongea kama watu wazima na kuelewana. No need ya matumizi ya nguvu, especially kwa mtu ambaye ni mnyonge/dhaifu kwako. Siku itokee, basi ntajitahidi kutumia njia ambayo itamfanya asirudie tena kunyanyua mkono wake.
Umeongea kwa busara sana. Mumeo ana bahati kama siyo furushi
 
Back
Top Bottom