Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,384
Yanga ina tatizo la kuanza vizuri halafu huko mbele inavurunda.Kuwa shabiki wa hii timu kunahitaji uvumilivu sana, ni kama timu yangu ya Yanga, nikiwa kwenu huko mimi huishabikia sana ila wananiangusha pia....
Gormahia iliishia wapi? Kuna kipindi niliipenda sana.



