Na hereni kavaaHalafu katinda nywele
Huyu na mihereni yake huyu usikute mabaharia wanampelekea moto ohooo!
Tena natilia mkazo kabisa, kuvaa zile nguo ni ushamba uliotukuka!! Waachieni tu wavae wanajua wao walivyosota kuzivaa na ndio mavazi yao ya kikazi, sisi wwngine tunakwenda kazini na tuna chaguo la mavazi mbali mbali!




Kwakweli nipo tu Tanzania
