Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Ninmwendo wa kumwaga udambwi dambwi tu
FB_IMG_1630232372955.jpg
 
Mimi huku hasidi wa Gor Mahia, siwapendi maana wakishnda huwa hakukaliki kwa kejeli zao, kama wana SImba tu ambao walikua wanasababisha Dar hakukaliki kila wakishinda hehehehe!!!

Hivi huyo Manara mbona walmpokea Yanga na alivyokua hovyo kwa kejeli zake dhidi ya Yanga, bora angekwenda Azam au kwingine.
BingoNyosso
FB_IMG_1630231301502.jpg
 
Back
Top Bottom