BingoNyossoMimi huku hasidi wa Gor Mahia, siwapendi maana wakishnda huwa hakukaliki kwa kejeli zao, kama wana SImba tu ambao walikua wanasababisha Dar hakukaliki kila wakishinda hehehehe!!!
Hivi huyo Manara mbona walmpokea Yanga na alivyokua hovyo kwa kejeli zake dhidi ya Yanga, bora angekwenda Azam au kwingine.
Halafu Da'Vinci anasema eti tuache memes hazina future kha!Ninmwendo wa kumwaga udambwi dambwi tu View attachment 1914675
Huyo jamaa aliwahi kuzifurahia memes kuwa zinamtoaga stress, baadaye akaja ongea huo Utopolo nilishangaa aiseeHalafu Da'vinci anasema eti tuache memes hazina future kha!



