Malchiah
JF-Expert Member
- Feb 10, 2021
- 1,951
- 20,673
Ngoja tusubiri majibu wa wapelelezi,utafurahi na roho yako.Ina maana Hamza alikuwa amedhulumiwa na mapolisi; na alikuwa anataka kulipiza kisasi? Pengine ndo maana hakutaka kuua raia....Sad !!!
View attachment 1908821
Naamini hakuna mpuuzi anaweza kuamua tu bila sababu ya msingi kufanya tukio kama la jana.
Na kama angekuwa na nia mbaya angeanza na wale wa kwenye magari.
"Haki aiombwi,ni wajibu kuipata/kuipigania".



