Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

2.6434486146332027E18.jpg
 
Haya mambo ni kila mtu na lwake kwa sababu hayana fomyula; na wala hakuna haja ya kuyafanyia majumuisho butu (myopic generalizations) wala kuyaandikia tasnifu.....Majimama for life
View attachment 1908707
Kweli. Mzigo umetulia. Hasa kama ni mfuasi wa shetani mlaanika,hapo ndo pakuongezea dhambi zote!!
 
Kweli. Mzigo umetulia. Hasa kama ni mfuasi wa shetani mlaanika,hapo ndo pakuongezea dhambi zote!!
Kama kila mtenda dhambi ni mfuasi wa shetani mlaanika basi wote ni majiganyanza. Labda tunazidiana viwango tu but again it doesn't matter kwa sababu hakuna dhambi ndogo na kubwa na ukivunja amri moja basi umevunja zote. Therefore; your logic is illogical here!

#TutaokolewaKwaNeemaTu
#Tusichekane
 
Back
Top Bottom