Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Haya mambo ni kila mtu na lwake kwa sababu hayana fomyula; na wala hakuna haja ya kuyafanyia majumuisho butu (myopic generalizations) wala kuyaandikia tasnifu.....Majimama for life
View attachment 1908707
We hujui tu! Steak tunawaachia nyie wa masaki!
Sisi huku uswahilini nyama iliyo kwenye mfupa ndio tamu!!
 
Hali ikifikia hv ni kumfukuza tu atarape watu
FB_IMG_16297000677596163.jpg
 
Hahhaa huyu jamaa mjinga sana akikosa kazi atalaumu ajira ngumu
View attachment 1908852
Hii sio Meme ni ukweli, Hakuna future kwenye meme. Zisitupotezee muda mwingi unless ndio kaz yako

Asante kwa ushauri wako. Ila meme mi binafsi siachi. Ndo uraibu wangu (na misambwanda ). Future tutakuja kukopa kwenu ambao mko siriazi na maisha!
 
Ngoja tusubiri majibu wa wapelelezi,utafurahi na roho yako.
Naamini hakuna mpuuzi anaweza kuamua tu bila sababu ya msingi kufanya tukio kama la jana.
Na kama angekuwa na nia mbaya angeanza na wale wa kwenye magari.
"Haki aiombwi,ni wajibu kuipata/kuipigania".
Ukweli hautausikia...utasikia wanachotaka usikie. Utakuja kusikia Hamza alikuwa na matatizo ya akili...

Yeah! Dhuluma inafika mahali mtu unasema liwalo na liwe!
 
Back
Top Bottom