Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG-20160115-WA0006.jpg
 
Kukimbizana na mtu ambaye hajawaibia wao, wivu umewapeleka kuzimu.
Matozo yote Tz wanaofanya magendo ni mbinu mojawapo ya kupunguza tozo, kwanza pesa zenyewe serikali inazitumia kwa luxuries ya viongozi wa juu.
Na hapo ukute kilichokuwa kinawapeleka mbio wala siyo ile kodi ya serikali.
Yaweza kuwa rushwa tu
 
Back
Top Bottom