Sio kidogo mkuu,matusi yote yale wanapataje nguvu kumpokea?! Nilikuwa namuangalia manara kwenye kideo hata yeye mwenyewe anajionea aibu moyoniIla Yanga nao wana moyo jamani khaaa

. "Eti Yanga and bla bla..." Subiri tukutane nao tena tuwachape halafu tuone atasemajeSio kidogo mkuu,matusi yote yale wanapataje nguvu kumpokea?! Nilikuwa namuangalia manara kwenye kideo hata yeye mwenyewe anajionea aibu moyoni. "Eti Yanga and bla bla..." Subiri tukutane nao tena tuwachape halafu tuone atasemaje









Kuna clip inatembea huko whatsapp ya muda kidogo manara alikuwa anahojiwa na times fm, anaulizwa kama akipewa mzigo wa kutosha atahamia yanga, anakataa anasema "over my dead body" hata apewe pesa zote benk kuu hawezi kwenda yanga, leo kiko wapi


Kwa mwongeaji kama yule nadhani hata hakumbuki aliwahi kusema nini. Sawa tu na wanasiasa wetuKuna clip inatembea huko whatsapp ya muda kidogo manara alikuwa anahojiwa na times fm, anaulizwa kama akipewa mzigo wa kutosha atahamia yanga, anakataa anasema "over my dead body" hata apewe pesa zote benk kuu hawezi kwenda yanga, leo kiko wapi![]()



Kweli kabisa naamini hata yeye hakumbuki, akiba ya maneno ni jambo muhimu sanaKwa mwongeaji kama yule nadhani hata hakumbuki aliwahi kusema nini. Sawa tu na wanasiasa wetu




