Sio kidogo mkuu,matusi yote yale wanapataje nguvu kumpokea?! Nilikuwa namuangalia manara kwenye kideo hata yeye mwenyewe anajionea aibu moyoni [emoji23][emoji23]. "Eti Yanga and bla bla..." Subiri tukutane nao tena tuwachape halafu tuone atasemajeIla Yanga nao wana moyo jamani khaaa
[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji83][emoji83][emoji83][emoji83]Sio kidogo mkuu,matusi yote yale wanapataje nguvu kumpokea?! Nilikuwa namuangalia manara kwenye kideo hata yeye mwenyewe anajionea aibu moyoni [emoji23][emoji23]. "Eti Yanga and bla bla..." Subiri tukutane nao tena tuwachape halafu tuone atasemaje
Kuna clip inatembea huko whatsapp ya muda kidogo manara alikuwa anahojiwa na times fm, anaulizwa kama akipewa mzigo wa kutosha atahamia yanga, anakataa anasema "over my dead body" hata apewe pesa zote benk kuu hawezi kwenda yanga, leo kiko wapi[emoji23][emoji23][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji83][emoji83][emoji83][emoji83]
View attachment 1906992
Kwa mwongeaji kama yule nadhani hata hakumbuki aliwahi kusema nini. Sawa tu na wanasiasa wetuKuna clip inatembea huko whatsapp ya muda kidogo manara alikuwa anahojiwa na times fm, anaulizwa kama akipewa mzigo wa kutosha atahamia yanga, anakataa anasema "over my dead body" hata apewe pesa zote benk kuu hawezi kwenda yanga, leo kiko wapi[emoji23][emoji23]
Kweli kabisa naamini hata yeye hakumbuki, akiba ya maneno ni jambo muhimu sana[emoji16][emoji16]Kwa mwongeaji kama yule nadhani hata hakumbuki aliwahi kusema nini. Sawa tu na wanasiasa wetu