Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1629830457250.jpg
 
Kuna clip inatembea huko whatsapp ya muda kidogo manara alikuwa anahojiwa na times fm, anaulizwa kama akipewa mzigo wa kutosha atahamia yanga, anakataa anasema "over my dead body" hata apewe pesa zote benk kuu hawezi kwenda yanga, leo kiko wapi
Kwa mwongeaji kama yule nadhani hata hakumbuki aliwahi kusema nini. Sawa tu na wanasiasa wetu
 
Back
Top Bottom