Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_4661.JPG
tigo tena
 
Hapo urafiki lazima ufe tu walah!! Maana majibu utakayopewa
Na usipomsaidia rafiki yako akikwama, huo ni urafiki gani sasa!! Ila binaadamu daaah!!
Mara nyingine afadhali hata marafiki kuliko ndugu.
Mi nasumbuliwa na ndugu zangu, aisee.
Unamsaidia lakini anakusimanga kama amekuzaa.
Ila yote kwa yote ni changamoto za kawaida sana, usivunje undugu au urafiki kwa sababu za aina hiyo
 
Back
Top Bottom