Jerry Ekky
JF-Expert Member
- May 6, 2018
- 1,683
- 5,242
pole sanaNpo hsp,naumwa sana.
Kwenye kubeti hii tunaita "away comes from behind and win the match".😜😜
yaani tunge badilishana ninavyo wapenda wanene ka kwangu hata akanenepi nakapa chipsi mayai awapi soda bado saizi ndo kana mtoto duu sijue umbea una kakondesha yaani ananipa changamoto hizi ndoa acha tuu



pole mkuu. Hawa vibonge nao wana kasheshe zao asee!
yaani tunge badilishana ninavyo wapenda wanene ka kwangu hata akanenepi nakapa chipsi mayai awapi soda bado saizi ndo kana mtoto duu sijue umbea una kakondesha yaani ananipa changamoto hizi ndoa acha tuu
Kwa kweli ukute ni baba yake mzaziHuyu anapaswa kufunguliwa mashtaka, hii picha itumwe kwa vyombo vya usalama asakwe.
Hapo mabaharia lazima wapotee nae