Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,402
Kama ni mimi naomba irudiwe aisee. Kuna vyuma hapo hatari!
Kama ni mimi naomba irudiwe aisee. Kuna vyuma hapo hatari!
Mama anaupiga mwingi sana. Makamanda walishangilia mapema mno; na wakamchukulia mama poa wakimtingisha na kumsuka suka huku na huko kama mwanasesere...March 2021View attachment 1903341Wait part 2 soon
Kwahiyo ni mfupi ila sio kiivyo si ndio Daddy SYB🥺We mbona wala siyo mfupi kihivyo jamani. Kuanzia sasa kila atakayekuonea mlete kwangu nitamnyorosha!
Binti yangu wewe siyo mfupi bana. Ni kimo cha kati. Wakukome!Kwahiyo ni mfupi ila sio kiivyo si ndio Daddy SYB
Bora nimepata mtetezi walai nilikuwa naongea mno
👌🏾👌🏾Nipo huru kuchangia bana labda ungeweka disclaimer kuwa SYB usichangie hapa. Na ni lazima niwatetee malast born wenzangu. Sisi tuna upendo wa kweli na tuna roho njema iliyojaa huruma japo pia tunaweza kudeka kidogo hapa na pale. Na utambue kwamba ufurushi wa mwanaume mara nyingi unasababishwa na ufurushi wenu - choyo, wivu uliopitiliza, visasi, roho mbaya... Kwa hivyo kama una tendency ya kupata wanaume mafurushi, jichunguze mwenyewe kwanza. Kama una moyo mwema, huna visasi, una upendo wa kweli na una good intentions hutakaa upate furushi hata siku moja!
Tena wanikome kabisa Daddy SYBBinti yangu wewe siyo mfupi bana. Ni kimo cha kati. Wakukome!
Yani nilishaanza kuogopa ujue..maji yaliyohai ni ya kwenye glass tu hayo mengine yanaweza kukuondoa uhai kimasiharaUlidhani janga limejiri nini?
🤣 🤣
Nipo huru kuchangia bana labda ungeweka disclaimer kuwa SYB usichangie hapa. Na ni lazima niwatetee malast born wenzangu. Sisi tuna upendo wa kweli na tuna roho njema iliyojaa huruma japo pia tunaweza kudeka kidogo hapa na pale. Na utambue kwamba ufurushi wa mwanaume mara nyingi unasababishwa na ufurushi wenu - choyo, wivu uliopitiliza, visasi, roho mbaya... Kwa hivyo kama una tendency ya kupata wanaume mafurushi, jichunguze mwenyewe kwanza. Kama una moyo mwema, huna visasi, una upendo wa kweli na una good intentions hutakaa upate furushi hata siku moja!











