CAGvsSPEAKER
JF-Expert Member
- May 16, 2019
- 1,339
- 5,044
Wacha kujikosha basiKuna......nilikuwa simuombi vocha yaani kazi yangu kusema tu mwezi unaisha bando,ananiunga
Sasa kuna siku akaniambia leo sina pesa na ninashida mawardat,naomba unisaidie kiasi fulani,nikashangaa maana mtu mzito
Nilimtumia....akanambia kwakweli sina shida,nilikuwa nakupima tu,huu ni mtihani nilitaka kujua upojeakanambia nitakurudishia pesa yako,nikamwambia hapana baki nayo,
Sasa we muombe kiasi unajua anauwezo nacho,ata vocha atakupa au la??

wanawake mlivyokuwa mabahili kwenye pesa zenu, labda nae alikuomba pesa ya vocha tu angekuwa na shida hata ya 50k bila shaka ungechomoa betriHapo kwenye jumuiya ndio umegusa penyewe kabisa


Ndiyo maana hutakuja kutajirika

Dhaaaaaaa kwakweli wanaume MunguHivi haya maisha wanaume nguvu za kuitindua used tunatoa wapi?
-Kodi ya nyumba
-Umeme na maji
-Ada za watoto
-Chakula daily
-Mavazi ya watoto
-Umtunze mke
-Majukumu ya wazazi na ndugu zako
-Miamala mbalimbali
-zaka na sadaka makanisani/misikitini
-matibabu ya familia
- manyanyaso ya boss
- bado unatakiwa kujenga
Nk, nk, nk,......
Mungu aturehemu wanaume wote wawajibikaji. It's not easy to be a man.
usinitanieWacha kujikosha basiwanawake mlivyokuwa mabahili kwenye pesa zenu, labda nae alikuomba pesa ya vocha tu angekuwa na shida hata ya 50k bila shaka ungechomoa betri
,Sasa unafikiri aliomba 1000??Hapo jamaa aliomba pesa ya vocha tuusinitanie,Sasa unafikiri aliomba 1000??

. Mwanamke akikupa hata 10k basi ataongea mwaka mzima kila mkipishana kidogo atakumbushiaBora angeondoka na godoro, ameondoka na kipande cha nyama ya moyo wanguPole kwakuachwa,kwani kaondoka na godoro au??
.
Silalagi mida ya wanga![]()
Karogwa huyu![]()
Unaambiwa kutoa ni moyoHapo jamaa aliomba pesa ya vocha tu. Mwanamke akikupa hata 10k basi ataongea mwaka mzima kila mkipishana kidogo atakumbushia
,mtu ukiwa na moyo wa utoaji,kusaidia inapendeza sana,
,
Kaenda kukipikia supu,usijali ikiiva utaletewa uinyweBora angeondoka na godoro, ameondoka na kipande cha nyama ya moyo wangu
