Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kuna......nilikuwa simuombi vocha yaani kazi yangu kusema tu mwezi unaisha bando,ananiunga

Sasa kuna siku akaniambia leo sina pesa na ninashida mawardat,naomba unisaidie kiasi fulani,nikashangaa maana mtu mzito

Nilimtumia....akanambia kwakweli sina shida,nilikuwa nakupima tu,huu ni mtihani nilitaka kujua upojeakanambia nitakurudishia pesa yako,nikamwambia hapana baki nayo,

Sasa we muombe kiasi unajua anauwezo nacho,ata vocha atakupa au la??
Wacha kujikosha basi wanawake mlivyokuwa mabahili kwenye pesa zenu, labda nae alikuomba pesa ya vocha tu angekuwa na shida hata ya 50k bila shaka ungechomoa betri
 
Golikipa timu ya taifa Afghanistan
FB_IMG_1629430090464.jpg
 
Hivi haya maisha wanaume nguvu za kuitindua used tunatoa wapi?
-Kodi ya nyumba
-Umeme na maji
-Ada za watoto
-Chakula daily
-Mavazi ya watoto
-Umtunze mke
-Majukumu ya wazazi na ndugu zako
-Miamala mbalimbali
-zaka na sadaka makanisani/misikitini
  • manyanyaso ya boss
  • bado unatakiwa kujenga
-matibabu ya familia
Nk, nk, nk,......

Mungu aturehemu wanaume wote wawajibikaji. It's not easy to be a man.
 
Hivi haya maisha wanaume nguvu za kuitindua used tunatoa wapi?
-Kodi ya nyumba
-Umeme na maji
-Ada za watoto
-Chakula daily
-Mavazi ya watoto
-Umtunze mke
-Majukumu ya wazazi na ndugu zako
-Miamala mbalimbali
-zaka na sadaka makanisani/misikitini
  • manyanyaso ya boss
  • bado unatakiwa kujenga
-matibabu ya familia
Nk, nk, nk,......

Mungu aturehemu wanaume wote wawajibikaji. It's not easy to be a man.
Dhaaaaaaa kwakweli wanaume Mungu
Azid kutupa nguvu za kupambana don't give up
 
Hapo jamaa aliomba pesa ya vocha tu. Mwanamke akikupa hata 10k basi ataongea mwaka mzima kila mkipishana kidogo atakumbushia
Unaambiwa kutoa ni moyo,mtu ukiwa na moyo wa utoaji,kusaidia inapendeza sana,

Sass bana kuna ata hao wanaume baadhi kuila hela yake ipo kazi,

sasa wewe hao wanawake baadhi uliokutana nao hao wabahili,usijumlishe wanawake wote
 
Back
Top Bottom