Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kuna......nilikuwa simuombi vocha yaani kazi yangu kusema tu mwezi unaisha bando[emoji3],ananiunga[emoji3]

Sasa kuna siku akaniambia leo sina pesa na ninashida mawardat,naomba unisaidie kiasi fulani,nikashangaa maana mtu mzito[emoji16]

Nilimtumia....akanambia kwakweli sina shida,nilikuwa nakupima tu,huu ni mtihani nilitaka kujua upoje[emoji1787]akanambia nitakurudishia pesa yako,nikamwambia hapana baki nayo,

Sasa we muombe kiasi unajua anauwezo nacho,ata vocha atakupa au la??
Wacha kujikosha basi[emoji16][emoji16] wanawake mlivyokuwa mabahili kwenye pesa zenu, labda nae alikuomba pesa ya vocha tu angekuwa na shida hata ya 50k bila shaka ungechomoa betri
 
Golikipa timu ya taifa Afghanistan
FB_IMG_1629430090464.jpg
 
Hivi haya maisha wanaume nguvu za kuitindua used tunatoa wapi?
-Kodi ya nyumba
-Umeme na maji
-Ada za watoto
-Chakula daily
-Mavazi ya watoto
-Umtunze mke
-Majukumu ya wazazi na ndugu zako
-Miamala mbalimbali
-zaka na sadaka makanisani/misikitini
  • manyanyaso ya boss
  • bado unatakiwa kujenga
-matibabu ya familia
Nk, nk, nk,......

Mungu aturehemu wanaume wote wawajibikaji. It's not easy to be a man.
 
Hivi haya maisha wanaume nguvu za kuitindua used tunatoa wapi?
-Kodi ya nyumba
-Umeme na maji
-Ada za watoto
-Chakula daily
-Mavazi ya watoto
-Umtunze mke
-Majukumu ya wazazi na ndugu zako
-Miamala mbalimbali
-zaka na sadaka makanisani/misikitini
  • manyanyaso ya boss
  • bado unatakiwa kujenga
-matibabu ya familia
Nk, nk, nk,......

Mungu aturehemu wanaume wote wawajibikaji. It's not easy to be a man.
Dhaaaaaaa kwakweli wanaume Mungu
Azid kutupa nguvu za kupambana don't give up
 
Hapo jamaa aliomba pesa ya vocha tu[emoji16][emoji16]. Mwanamke akikupa hata 10k basi ataongea mwaka mzima kila mkipishana kidogo atakumbushia
Unaambiwa kutoa ni moyo[emoji173],mtu ukiwa na moyo wa utoaji,kusaidia inapendeza sana,

Sass bana kuna ata hao wanaume baadhi kuila hela yake ipo kazi[emoji16],

sasa wewe hao wanawake baadhi uliokutana nao hao wabahili,usijumlishe wanawake wote[emoji23]
 
Back
Top Bottom