Nawew hao wanaume usilinganishe na wanaume woteUnaambiwa kutoa ni moyo,mtu ukiwa na moyo wa utoaji,kusaidia inapendeza sana,
Sass bana kuna ata hao wanaume baadhi kuila hela yake ipo kazi,
sasa wewe hao wanawake baadhi uliokutana nao hao wabahili,usijumlishe wanawake wote![]()

Japo yawezekana wangezaa wote watoto wangekua 9Hah ah hahahaView attachment 1899294




