Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kuchoka
FB_IMG_16293944305718169.jpg
 
Unapata mtu kila siku anakuomba vocha, mimi naanzaje kumuomba yeye!
Kuna......nilikuwa simuombi vocha yaani kazi yangu kusema tu mwezi unaisha bando,ananiunga

Sasa kuna siku akaniambia leo sina pesa na ninashida mawardat,naomba unisaidie kiasi fulani,nikashangaa maana mtu mzito

Nilimtumia....akanambia kwakweli sina shida,nilikuwa nakupima tu,huu ni mtihani nilitaka kujua upojeakanambia nitakurudishia pesa yako,nikamwambia hapana baki nayo,

Sasa we muombe kiasi unajua anauwezo nacho,ata vocha atakupa au la??
 
Back
Top Bottom