Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kuchoka[emoji31]
FB_IMG_16293944305718169.jpg
 
Unapata mtu kila siku anakuomba vocha, mimi naanzaje kumuomba yeye!
Kuna......nilikuwa simuombi vocha yaani kazi yangu kusema tu mwezi unaisha bando[emoji3],ananiunga[emoji3]

Sasa kuna siku akaniambia leo sina pesa na ninashida mawardat,naomba unisaidie kiasi fulani,nikashangaa maana mtu mzito[emoji16]

Nilimtumia....akanambia kwakweli sina shida,nilikuwa nakupima tu,huu ni mtihani nilitaka kujua upoje[emoji1787]akanambia nitakurudishia pesa yako,nikamwambia hapana baki nayo,

Sasa we muombe kiasi unajua anauwezo nacho,ata vocha atakupa au la??
 
Back
Top Bottom