Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,557
- 7,381
Kaficha simu mbali!!!Nani kaonaaaaaaa?View attachment 1081551
Wa mikoani mmetisha aisee yaani mmeshindwa kabisa kujua kuwa jiwe and company kazi yao ni kuzua tatizo, kulitatua na kisha kujipatia umaarufu wa kisiasa?
Daaah nani tena huyuuuu? Au ndo Lugola keshavua?
Nini kilitokea hapo
Dad's reaction is pathetic hahaaaa...