Kidhungu sasa me sikijui mkuu nitafsirie basi


Ukikutana nae usiku mbioooo nitakazo timua mwenyewe atacheka balaa
Hahahaha juxt hahahaha
Tabita miti mirefu
Kama unafuatili mitandao utanielewa tu nacho maanishaMkuu sija kuelewa
Hivi huyu yuko wapi?
Ukimwi na visonono na kaswende pamoja na kansa ndo vinazidi kuenea. Hawa watu wapumbavu na ukute wana waume. Shame on them not to the preacher sababu wameamua kujitoa ufahamu wenyewe.