mawardat Babu yako ana roho mbaya kama shati la mpishi wa sumu!Mjukuu nisikilize vizuri kwenye hii ishu. Usiponisikiliza utajuta.
Kimbilia kwenye pdf. Huko angalau kuna staha na mapigo ya kimya kimya. Huyu baharia anayetamba hadharani kuwa ni bingwa wa kuzama uvinzani kwa kweli hapana. Utakwenda kuzamiwa chumvini mpaka chumvi yote ikuishe. Na bila chumvi huwezi kuwa na mishipa imara na mifumo mingi mwilini haitofanya kazi. Kimbia mjukuu wangu kimbia. Hata PM usimkaribishe kabisa.
Ni hayo tu kwa sasa🥱🥱🥱
![]()






Leo ndiyo nitajua kama nina mjukuu anayenisikiliza ama la! Akikimbilia kwenye chumvi na kuacha pdf (elimu) nitashangaa sana. Na inawezekana nitamsusa kabisa na kumtenga mimi na ukoo wote. Ujukuu na ubabu waweza koma leo hii hii dadeki






Anapikapika huko nje akimaliza atakuja kuweka comment


Inasemekana zimezimwa kwa Tanzania; na watu wengi wanahangaika. Labda mama anataka kuingiza sharia law. Ila kwangu nimefurahi japo nadhani matumizi ya mtandao (watu kununua bando) yatapunguaWadau vipi huko naona site za kina John sin sizioni
A good mama will do anything so save her kids..View attachment 1896994



Nikizionaga dimpozi mie......Watu na dimpozi zao...
View attachment 1898072

