Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 43,865
- 103,892
Zimefanana na hostel za udom, nkajua tayari hukoooooooKama ndoa sawaView attachment 1898075
Zimefanana na hostel za udom, nkajua tayari hukoooooooKama ndoa sawaView attachment 1898075



Mjukuu nisikilize vizuri kwenye hii ishu. Usiponisikiliza utajuta.
Kimbilia kwenye pdf. Huko angalau kuna staha na mapigo ya kimya kimya. Huyu baharia anayetamba hadharani kuwa ni bingwa wa kuzama uvinzani kwa kweli hapana. Utakwenda kuzamiwa chumvini mpaka chumvi yote ikuishe. Na bila chumvi huwezi kuwa na mishipa imara na mifumo mingi mwilini haitofanya kazi. Kimbia mjukuu wangu kimbia. Hata PM usimkaribishe kabisa.
Ni hayo tu kwa sasa🥱🥱🥱
![]()



huyo kijana atakuharibia mjukuu



Nakupigia chapuo nawe basi usiniangushe na mapdf yako yasiyo na kichwa wala miguu. Ukisaidiwa saidika kha!huyo kijana atakuharibia mjukuu





Ujumbe ushamfikia huko alikoMwambie atulie



JF bana...Nakupigia chapuo nawe basi usiniangushe na mapdf yako yasiyo na kichwa wala miguu. Ukisaidiwa saidika kha!![]()


nishafanya yangu babu
Bole dana dugu yaguJabani leo bafua Yabenibana

Alidhani ni vidimbwi kama vile vya beachWatu na dimpozi zao...
View attachment 1898072




