CAGvsSPEAKER
JF-Expert Member
- May 16, 2019
- 1,339
- 5,044
Mie ninazo mamaa,fanya nikupe mtu utakayekuwa unaziona mamaa!!!Nikizionaga dimpozi mie......![]()
Mie ninazo mamaa,fanya nikupe mtu utakayekuwa unaziona mamaa!!!Nikizionaga dimpozi mie......![]()
Kisayansi huo ni ulemavu uliochangamka 😬😬kuna best yangu anazo anajishauwa nazoMie ninazo mamaa,fanya nikupe mtu utakayekuwa unaziona mamaa!!!
Abee babu nishafikaLeo ndiyo nitajua kama nina mjukuu anayenisikiliza ama la! Akikimbilia kwenye chumvi na kuacha pdf (elimu) nitashangaa sana. Na inawezekana nitamsusa kabisa na kumtenga mimi na ukoo wote. Ujukuu na ubabu waweza koma leo hii hii dadeki
Mjukuu njoo ukate mzizi wa fitina huku nijue moja.

Zinatoa pesa auMie ninazo mamaa,fanya nikupe mtu utakayekuwa unaziona mamaa!!!
,kaa nazo mwenyewe mie sizitakiBabu yangu yupo sahihi kabisa
,wewe haunifai bana,mie sina chimvi
Na pesa ipo mamaa!!!Zinatoa pesa au,kaa nazo mwenyewe mie sizitaki
Hakuna kitu sipendi kama mtu kunitania nazo,yaani huwa namind kweli.Kisayansi huo ni ulemavu uliochangamkakuna best yangu anazo anajishauwa nazo
Yeye mwenye pesa atumikie mipango ya pesa na mimi nitumikie mipango ya faragha Mandingo style. Hapo sawa kabisa aiseeKukupiga chini ni matumizi mabaya ya rasilimali binadamu. Mnakuwa wote kwa mpango.








Huwa mnalinga na dimpozii zenu 😬Hakuna kitu sipendi kama mtu kunitania nazo,yaani huwa namind kweli.
Hasa hivi vi dada hivi.
Huwa mnalinga na dimpozii zenu![]()
Huyu zake hazishawishi kuna dimpozi zinakuwa kama shimo la kuchezea mdako shavu libonyee ila sio sana kama mimi kwa mbali 😜
espy wewe una o wangapi ambao unawapanga?Kukupiga chini ni matumizi mabaya ya rasilimali binadamu. Mnakuwa wote kwa mpango.
Huyu fala huwa anafinya mdomo ili zitokee. Wakati wengine wakiongea tu zinatokea.
Sina hiyo tabia aisee. Nikiwa mdogo kuna bother aliniambia ni vitu vya wanawake,aisee na mimi ni mmaasai halafu uniambie nina vitu vya kike,aisee nilizichukia kinyama.Huwa mnalinga na dimpozii zenu![]()
Jiamini mkuu huwa mnapendeza sana.Ex yule nilikuwa napenda kumtizama kila mda akiongea,akicheka.Sina hiyo tabia aisee. Nikiwa mdogo kuna bother aliniambia ni vitu vya wanawake,aisee na mimi ni mmaasai halafu uniambie nina vitu vya kike,aisee nilizichukia kinyama.
Yaani mimi sizipendi hata kidogo. Na mtu akinitaniaga huwa namind sema tu najikaza coz siwezi zinguana na kila mtu.Jiamini mkuu huwa mnapendeza sana.Ex yule nilikuwa napenda kumtizama kila mda akiongea,akicheka.