Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,900
- 136,567
Umefrahi mwenyewe,binamu ajambo,yule wa kuoga sembeMarahaba ankali wangu

Umefrahi mwenyewe,binamu ajambo,yule wa kuoga sembeMarahaba ankali wangu

🤣🤣🤣Ni mzima wa afya tele.Leo ameniambia kuwa anataka akuone wewe binamu yake.Umefrahi mwenyewe,binamu ajambo,yule wa kuoga sembe![]()
Anataka kunipa nini?? Najua hela hana,ana shikamoo tuNi mzima wa afya tele.Leo ameniambia kuwa anataka akuone wewe binamu yake.

Mnyaki, mambo?
(Samahani kama siyo Mnyaki. Nilishaapa kuwatania Wanyaki po pote na wakati wo wote. Nawapenda sana!)



mi ni mnyaki.. unaweza kutania upendavyo Shimba.Muendelee kutumika tu,maisha menyewe yako wapi



Kwani hujawahi ona mdada ana busha ankaliKwa siye wanawake ingekuwaje ankaliii??




Ndio maana siruki hata nukta isije kuwa kweli
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app



Asiye!! Kwakweli kuwa mwangalifuAnkali,mie sijawahi ona,anakuwajekuwahe kwanzaKwani hujawahi ona mdada ana busha ankali![]()
