Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

239162411_366505288455858_3423830697989240640_n.jpg
 
Ila Manyara jamani inaongoza kwa kuwa na wasichana wazuri.
Wasichana wa huko wana mvuto sana, halafu hawajuagi kusema hapana[emoji23][emoji23]
Utasikia"ninunulie Airtel ya mia tano unikute pale kwenye ile mgunga,ile shamba ndo nzuri mahindi yake ilipandwa na ng'ombe"....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mjukuu nisikilize vizuri kwenye hii ishu. Usiponisikiliza utajuta.

Kimbilia kwenye pdf. Huko angalau kuna staha na mapigo ya kimya kimya. Huyu baharia anayetamba hadharani kuwa ni bingwa wa kuzama uvinzani kwa kweli hapana. Utakwenda kuzamiwa chumvini mpaka chumvi yote ikuishe. Na bila chumvi huwezi kuwa na mishipa imara na mifumo mingi mwilini haitofanya kazi. Kimbia mjukuu wangu kimbia. Hata PM usimkaribishe kabisa.

Ni hayo tu kwa sasa [emoji2219][emoji2219][emoji2219]🥱🥱🥱[emoji42][emoji42][emoji42][emoji42]
Huyu hanifai kabisa,maana mie sina chumvi,ninasukari tu hapa,tena ya keikei kijiko kimoja[emoji23]
 
Back
Top Bottom