Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383





Vi kitu vya mzee asali weka pembeni. Yaani viko weti na hot muda wote.
Utasikia"ninunulie Airtel ya mia tano unikute pale kwenye ile mgunga,ile shamba ndo nzuri mahindi yake ilipandwa na ng'ombe"....Ila Manyara jamani inaongoza kwa kuwa na wasichana wazuri.
Wasichana wa huko wana mvuto sana, halafu hawajuagi kusema hapana![]()





Under serious pressureMaana halisi ya "I can work under pressure".View attachment 1897657
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie atulie
Wacha kujichosha bro, mtoto kaelewa pdf saii tupo kwenye mipango mingine ya kifamilia! Unapoteza muda tu huko pm!
Kwa siye wanawake ingekuwaje ankaliii??
Jamani watu wana majibu, sijui hata wanayatoleaga wap
Mnyaki, mambo?Jamani watu wana majibu, sijui hata wanayatoleaga wap




Tena hapo ungekomaa ungeweza kumpiga huyo Msukuma ng'ombe kadhaa ili naye umjengee kama hiyo hapo kwake.
...kabisaHuyu hanifai kabisa,maana mie sina chumvi,ninasukari tu hapa,tena ya keikei kijiko kimojaMjukuu nisikilize vizuri kwenye hii ishu. Usiponisikiliza utajuta.
Kimbilia kwenye pdf. Huko angalau kuna staha na mapigo ya kimya kimya. Huyu baharia anayetamba hadharani kuwa ni bingwa wa kuzama uvinzani kwa kweli hapana. Utakwenda kuzamiwa chumvini mpaka chumvi yote ikuishe. Na bila chumvi huwezi kuwa na mishipa imara na mifumo mingi mwilini haitofanya kazi. Kimbia mjukuu wangu kimbia. Hata PM usimkaribishe kabisa.
Ni hayo tu kwa sasa🥱🥱🥱
![]()

Ankaliii,shikamoo
Ndio maana siruki hata nukta isije kuwa kweli