Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,838
Ni ya kubahatisha. Risk taking ndiyo msingi mkuu. The bigger the risk the bigger the reward (ende vaisi vesa)...Kuna walionunua MySpace ikawafia. Hata Nestscape...Mbali na mfumo bora wa kibiashara kuna element ya bahati na hasa timing...right move at the right time...kama hawa vijana walioanzisha WhatsApp miaka michache tu wakaja kumuuzia Zuckerberg kwa dola bilioni 19. Telegram walichelewa kidogo tu yaani....View attachment 1893663
Hayo ndio maamuzi ya biashara
Mpendwa una wivu mkali eeeh! Lakini si dini inaruhusu? Mmeo ikitokea akacheat na ukajua utafanyeje? [emoji16][emoji16][emoji16]Mimi hata tuishi Nchi tofauti siwezi nina kinyaaa yaani naona kabisa hii mali yangu jana ilikuwa sehemu fulani au leo mwenzangu yupo kifuani huko aiseee siwezi[emoji51][emoji51]
Acha kuwaza mapenzi,waza ufanye vipi hili upate pesa[emoji16]Na kwanini uolewe mke mwenza ilhali mimi hapa u single unanitesa?
Sijalala mpaka muda huu nawaza mapenzi tu.
Ila sina hela. Ndo nazitafuta. Njoo tuunganishe nguvu.
Nipe namba hata pm tu uwe na mume wako peke yako. I promise,hutojutia.....[emoji8]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Duuu kitu gani, kwani we ni mgeni kwenye 6x6
Dah we acha tu mkuu sijui itakuwaje nakumbuka niliwahi kumuuliza Mother aliwezaje kuishi akiwa mke Mwenza tena yeye wa kwanza na wenzie wawili alicheka na kunambia we si Mwanamke 😬😬[emoji23]unaweza ukawa wa kwanza,ukiongezewa itakuwaje??
Wanaume hawaeleweki katu!
Ugali wa leo[emoji16],,,mama kaula hajatoa kasoro[emoji23]Mpendwa una wivu mkali eeeh! Lakini si dini inaruhusu? Mmeo ikitokea akacheat na ukajua utafanyeje? [emoji16][emoji16][emoji16]
Ulifuata maelekezo yangu?
Sawa dini inaruhusu ila nimeumbwa hivyo kutokubaliana na hali ya ake Wenza.Ikitokea Mume akacheat ajue 🔪au moto utamuhusu😬Mpendwa una wivu mkali eeeh! Lakini si dini inaruhusu? Mmeo ikitokea akacheat na ukajua utafanyeje? [emoji16][emoji16][emoji16]
Unatisha mpendwa [emoji1545][emoji1545][emoji2099][emoji2099][emoji2099]Sawa dini inaruhusu ila nimeumbwa hivyo kutokubaliana na hali ya ake Wenza.Ikitokea Mume akacheat ajue [emoji380]au moto utamuhusu[emoji51]
Yaani wanaume hawaeleweki,.....anaweza asiongeze mke,lakini huko mitaani kawapanga foleni[emoji39]Dah we acha tu mkuu sijui itakuwaje nakumbuka niliwahi kumuuliza Mother aliwezaje kuishi akiwa mke Mwenza tena yeye wa kwanza na wenzie wawili alicheka na kunambia we si Mwanamke [emoji51][emoji51]
Hao dagaa una uhakika uliwakata vichwa lakini? Baada ya somo la kupika ugali kueleweka tunaweza kuhamia kwenye dagaa [emoji16][emoji16]
Siku moja utakamatwa tu na furushi lako. Kwema? [emoji870][emoji870][emoji870][emoji870]Usitutishe.
Dagaa sitoagi vichwa wallah,labda kama yupo wa kunitolea[emoji16]Hao dagaa una uhakika uliwakata vichwa lakini? Baada ya somo la kupika ugali kueleweka tunaweza kuhamia kwenye dagaa [emoji16][emoji16]
Hapo bado kuna tatizo!Dagaa sitoagi vichwa wallah,labda kama yupo wa kunitolea[emoji16]